iqna

IQNA

papa francis
Watetezi wa Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Kwa mara nyingine tena Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amelaani vitendo vya karibuni vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi za Sweden na Denmark na kusisitiza kuwa, vitendo hivyo vya kudhalilisha matukufu ya kidini havina tofauti na ukatili.
Habari ID: 3477371    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/02

Chuki dhidi ya Uislamu
ROME (IQNA) - Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, amelaani kibali alichopewa mtu mwenye msimamo mkali kuchoma nakala ya Qur'ani Tukufu nchini Uswidi wiki iliyopita.
Habari ID: 3477230    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/03

Mazungumzo ya Kidini
TEHRAN (IQNA) - Siku ya Jumamosi, Papa Francis Kiongozi wa Kanisa Katoloji Duniani alikutana na Sheikh Mohammad Al-Issa, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Waislamu Ulimwenguni (MWL), katika ofisi yake katika Jumba la Saint Martha huko Vatican.
Habari ID: 3477062    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/28

Mazungumzo ya kidini
TEHRAN (IQNA)-Akiwahutubia washiriki wa Kongamano la VI la Mazungumzo Baina ya Dini, Papa Francis aliwapongeza washiriki kutokana na mtazamo wao kuhusu mazungumzo baina ya dini.
Habari ID: 3476954    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/04

Uislamu na Ukristo
TEHRAN (IQNA) – Rais wa Chuo Kikuu cha Dini na Madhehebu za Kiislamu cha Iran amekutana na Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani na kumfahamisha kuhusu shughuli cha chuo hicho.
Habari ID: 3476700    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/14

Uislamu na Ukristo
TEHRAN (IQNA) – Papa Francis, katika ziara ya kwanza ya kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, alisafiri hadi Iraq mwezi Machi mwaka jana.
Habari ID: 3476271    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/19

Mazungumzo baina ya dini
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq Ayatullah Ali al-Sistani amsisitiza haja ya kuzingatiwa maadili ya mshikamano unaotilia mkazo kuheshimiana miongoni mwa wafuasi wa imani au dini mbali mbali.
Habari ID: 3476219    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/08

TEHRAN (IQNA) – Kongamano la mazungumzo ya dini mbalimbali lilifanyika nchini Bahrain mapema mwezi huu na lilihudhuriwa na Kiongozi wa Kanisa Katoloki Papa Francis na Sheikh Mkuu wa Kituo cha Kiislamu Al-Azhar cha Misri Sheikh Ahmed el-Tayeb.
Habari ID: 3476161    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/28

Jinai nchini Bahrain
TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Kitaifa ya Kiislamu ya Al-Wefaq ambayo ni kundi kuu la upinzani nchini Bahrain linasema utawala wa ukoo wa Aal Khalifah unatumia vibaya ziara ya Papa Francis nchini humo ili kuficha jinai zake na ukiukaji wa haki za binadamu.
Habari ID: 3476036    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/05

Jinai za Kanisa
TEHRAN (IQNA)- Hatimaye, baada ya kusubiri kwa muda mrefu, Papa Francis, kiongozi wa Kanisa Katoliki, amekwenda Kanada (Canada) na kuomba msamaha kwa wenyeji asilia wa nchi hiyo kutokana na kuhusika kanisa hilo katika moja ya jinai na maafa mabaya zaidi ya kibinadamu nchini humo.
Habari ID: 3475545    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/27

Uislamu na Ukriso
TEHRAN (IQNA)- Mkurugenzi wa Vyuo vya Kiislamu nchini Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani na kumkabidhi ujumbe wa maneno kutoka kwa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3475324    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/01

Uislamu na Ukristo
TEHRAN (IQNA) – Mkurugenzi wa Vyuo vya Kiislamu Iran Ayatullah Alireza Arafi alikutana na kufanya mazungumzo na Papa Francis.
Habari ID: 3475317    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/31

TEHRAN (IQNA)- Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amemwandikia barua Ayatullah Ali Sistani kiongozi wa juu wa kidini wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq kumpongeza na kumshukuru kwa misimamo yake ya kuitetea na kuihami Palestina katika mkutano wake na Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani.
Habari ID: 3473733    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/14

TEHRAN (IQNA) – Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Jumamosi alisikiliza qiraa ya Qur'ani katika mji wa kale mji wa Ur Kaśdim kaskazini mwa Iraq, eneo ambalo inaaminika alizaliwa Nabii Ibrahim (Abraham) –Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake.
Habari ID: 3473714    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/07

TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis ameitembelea Iraq katika safari ya kihistoria ambayo pia ni safari yake ya kwanza ya kimataifa tangu kuibuka janga la COVID-19.
Habari ID: 3473708    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/06

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Kiislamu nchini Iraq Ayatullah Sayyid Ali Sistani amekutana na Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani ambapo katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq.
Habari ID: 3473707    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/06

TEHRAN (IQNA)- Ujumbe kutoka makao makuu ya Kanisa Katoliki Duniani, Vatican, umetembelea Haram Takatifu ya Imam Ali AS mjini Najaf, Iraq.
Habari ID: 3473645    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/12

TEHRAN (IQNA) - Baraza kuu la kutekeleza malengo ya Waraka wa Urafiki wa Kibinadamu baina ya Taasisi ya Al-Azhar ya Misri na Vatican limetoa wito kwa viongozi na wafuasi wa dini zote duniani kuainisha Mei 14 kama siku maalumu ya duaa na maombi kwa ajili ya kumuomba Mwenyezi Mungu ainusuru dunia kutokana na janga la COVID-19.
Habari ID: 3472733    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/04

TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa vyuo vya kidini katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtumia barua Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, na kusema vyuo vya kidini Iran viko tayari kubadilishana uzoefu na vyuo vya kidini na viongozi wa dini za mbinguni kote duniani.
Habari ID: 3472634    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/05

TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Kituo cha Kiislmau cha Al Azhar nchini Misri, Sheikh Ahmed el Tayeb amekutana na Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, Ijumaa mjini Vatican.
Habari ID: 3472221    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/18